5 Wahiti wakamujibu:
Kanana alikuwa babu ya Sidona, muzaliwa wake wa kwanza, na Heti,
Abrahamu akaacha maiti ya muke wake, akatoka na kwenda kuzungumuza na Wahiti, akawaambia:
“Mimi ninaishi kama mugeni kati yenu. Munipatie sehemu ya udongo ya kaburi, kusudi nipate kumuzika marehemu muke wangu.”
“Ee bwana wetu, usikilize; wewe ni kiongozi mukubwa kati yetu. Umuzike marehemu muke wako katika kaburi lolote utakalojichagulia; hakuna yeyote kati yetu atakayekunyima kaburi lake, wala kukuzuia kumuzika marehemu muke wako.”
Wana wa Kanana walikuwa: Sidoni, muzaliwa wake wa kwanza, na Heti.
Lakini aliwaokoa wakosefu katika taabu zao, akaongeza jamaa zao kama kundi la kondoo.