Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 23:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Shamba na pango lililokuwa mule lililohakikishwa na Wahiti likuwe mali ya Abrahamu apate kuzika wafu wake mule.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 23:20
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kanana alikuwa babu ya Sidona, muzaliwa wake wa kwanza, na Heti,


Nyuma ya hayo, Abrahamu akamuzika Sara muke wake katika pango lile lililokuwa mule katika shamba la Makipela, upande wa mashariki ya Mamure, ni kusema Hebroni, katika inchi ya Kanana.


“Mimi ninaishi kama mugeni kati yenu. Munipatie sehemu ya udongo ya kaburi, kusudi nipate kumuzika marehemu muke wangu.”


Abrahamu alikuwa amenunua shamba lile kwa Wahiti. Kule ndiko Abrahamu na muke wake Sara walizikwa.


Isaka na Isimaeli, wana wa Abrahamu, wakamuzika baba yao katika pango la Makipela, upande wa mashariki wa Mamure kwenye shamba lililokuwa la Efuroni mwana wa Sohari Muhiti.


Kisha Israeli akawaagiza wana wake hivi: “Mimi niko karibu kufa na kwenda kukutana na watu wangu. Munizike pamoja na wazee wangu katika pango linalokuwa katika shamba la Efuroni Muhiti,


wakamupeleka mpaka inchi ya Kanana, wakamuzika katika pango lililokuwa katika shamba kule Makipela, upande wa mashariki wa Mamure. Pango pamoja na shamba lile Abrahamu alikuwa amelinunua kwa Efuroni Muhiti, kusudi pakuwe pahali pake pa kuzikia.


‘Mimi niko karibu kufa. Inakupasa kunizika katika kaburi nililojichongea katika inchi ya Kanana.’ Kwa hiyo ninamwomba aniruhusu niende kumuzika baba yangu, kisha nitarudi.”


Lakini mufalme akamwambia Arauna: “Hapana! Wewe hautanipa kitu chochote. Mimi nitavinunua kwako kwa bei yake. Sitamutolea Yawe, Mungu wangu, sadaka za kuteketezwa ambazo sikununua.” Hivyo, mufalme Daudi alinunua kiwanja cha kupepetea na ngombe dume kwa bei ya vikoroti makumi tano vya feza.


Manase akakufa na kuzikwa katika bustani ya nyumba yake mwenyewe, katika Bustani ya Uza. Naye mwana wake Amoni akatawala kwa pahali pake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ