Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 23:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Abrahamu mbele ya Wahiti wote waliokutanika kwa mulango wa muji.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 23:18
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kanana alikuwa babu ya Sidona, muzaliwa wake wa kwanza, na Heti,


Efuroni mwenyewe alikuwa kati ya Wahiti hao waliokuwa wamekutanika kwenye mulango wa muji. Basi, Efuroni Muhiti, akamujibu Abrahamu mbele ya Wahiti wote pale kwenye mulango:


Nyuma ya hayo, Abrahamu akamuzika Sara muke wake katika pango lile lililokuwa mule katika shamba la Makipela, upande wa mashariki ya Mamure, ni kusema Hebroni, katika inchi ya Kanana.


Isaka na Isimaeli, wana wa Abrahamu, wakamuzika baba yao katika pango la Makipela, upande wa mashariki wa Mamure kwenye shamba lililokuwa la Efuroni mwana wa Sohari Muhiti.


Basi, Hamori na mwana wake Sekemu, wakakwenda kwenye mulango wa muji, pahali pa mikutano, wakaongea na watu wao wakisema:


Wanaume wote waliokusanyika kwenye mulango wa muji ule wakakubaliana na Hamori na mwana wake Sekemu. Kisha, wanaume wote wakatahiriwa.


Nilimupa Baruku mwana wa Neria mujukuu wa Masea ile barua ya ununuzi mbele ya binamu yangu Hanameli na washuhuda waliokuwa wametia sahihi juu ya barua ya ununuzi, na mbele ya Wayuda wote waliokuwa wameikaa katika baraza la walinzi.


Boazi akakwenda kwa nafasi ya kufanyia mukutano kule kwenye mulango wa muji, akaikaa chini. Kisha yule ndugu ya Elimeleki ambaye Boazi alikuwa amemutaja, akapita karibu na pale. Boazi akamwita, akasema: “Kuja, uikae hapa ndugu.” Basi yule mutu akakuja na kuikaa pale.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ