14 Efuroni akamujibu Abrahamu:
akamwambia Efuroni, wanainchi wote wakisikia: “Ninakuomba, tafazali unisikilize. Nitakulipa bei kamili ya shamba lako, na ninakuomba upokee malipo haya kusudi nipate kumuzika mule marehemu muke wangu.”
“Bwana, unisikilize. Shamba lenye bei ya vikoroti mia ine tu za feza ni nini kati yako na mimi? Umuzike marehemu muke wako.”