Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 23:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 “Hapana bwana. Tafazali unisikilize. Ninakupa shamba lote na pango linalokuwa mule; tena ninakupa mbele ya wanainchi wenzangu. Umuzike mule marehemu muke wako.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 23:11
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Abrahamu akainama tena kwa heshima mbele ya wanainchi,


Abrahamu mbele ya Wahiti wote waliokutanika kwa mulango wa muji.


“Ee bwana wetu, usikilize; wewe ni kiongozi mukubwa kati yetu. Umuzike marehemu muke wako katika kaburi lolote utakalojichagulia; hakuna yeyote kati yetu atakayekunyima kaburi lake, wala kukuzuia kumuzika marehemu muke wako.”


Lakini wenye heshima wanatenda mambo ya heshima, nao wanatetea mambo yenye heshima.


Mutu yeyote atakayeua mutu, atahukumiwa kifo kutokana na ushuhuda wa washuhuda wawili au zaidi; mutu yeyote hawezi kuhukumiwa kifo kutokana na ushuhuda wa mutu mumoja.


Halafu akawaambia wale waliokuwa pale: ‘Mumunyanganye ile furushi moja na kuitoa kwa yule anayekuwa na furushi kumi.’


Hata hivyo, atauawa ikiwa kuna ushuhuda wa watu wawili au watatu. Asiuawe ikiwa kuna ushuhuda wa mutu mumoja tu.


“Ushuhuda wa mutu mumoja hautoshi kwa kuhukumu mutu juu ya kosa lolote au uovu juu ya kosa lolote alilofanya. Ni ushuhuda wa watu wawili au watatu tu ndio utakaohakishwa.


Boazi akakwenda kwa nafasi ya kufanyia mukutano kule kwenye mulango wa muji, akaikaa chini. Kisha yule ndugu ya Elimeleki ambaye Boazi alikuwa amemutaja, akapita karibu na pale. Boazi akamwita, akasema: “Kuja, uikae hapa ndugu.” Basi yule mutu akakuja na kuikaa pale.


Basi wazee waliokuwa kwenye mulango na watu wote waliokuwa pale wakajibu: “Ndiyo, sisi ni washuhuda. Yawe amufanye muke wako akuwe kama Rakeli na Lea, ambao wote wawili waliijenga nyumba ya Israeli. Nawe upate kustawi katika jamaa ya Efurata, ukuwe na sifa katika Betelehemu.


Basi mimi nimeona afazali nikujulishe habari hii. Sasa ikiwa unalitaka shamba hili, ulinunue mbele ya wazee wa watu wangu. Ikiwa unalitaka au haulitaki sema basi kwa sababu nafasi ya kwanza ya kulikomboa ni yako, na yangu ni ya pili.” Naye akasema: “Mimi nitalikomboa.”


Halafu Boazi akawaambia wazee na watu waliokuwa pale: “Leo ninyi ni washuhuda wangu. Mumeona kwamba nimenunua kutoka kwa Naomi, vyote vilivyokuwa vya Elimeleki, na vya Kiliona na Malona.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ