Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 22:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Usi muzaliwa wa kwanza, Buzi ndugu yake, Kemweli baba ya Aramu,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 22:21
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nyuma ya mambo hayo Abrahamu akapata habari kwamba Milka vilevile amemuzalia ndugu yake Nahori watoto wanaume:


Kesedi, Hazo, Pildasi, Idilafu na Betueli.


Kisha, yule mutumishi akatwaa ngamia kumi wa bwana wake akaondoka akiwa na zawadi nzuri za kila aina. Akasafiri kwenda katika muji Nahori alimokaa, katika inchi ya Mesopotamia.


Kulikuwa mutu mumoja katika inchi ya Usi, aliyeitwa Yobu. Mutu yule alikuwa mukamilifu, wa usawa, mwenye kumwogopa Mungu na mwenye kuepukana na uovu.


Kwa hiyo Elihu mwana wa Barakeli wa kabila la Buzi wa ukoo wa Rama akakasirika. Alimukasirikia Yobu kwa sababu Yobu alijiona yeye mwenye haki na wala si Mungu.


wageni wote walioishi katika inchi ya Misri; wafalme wote wa inchi ya Uzi; wafalme wote wa miji ya Wafilistini, Askeloni, Gaza, Ekuroni na mabaki ya Asidodi;


wakaaji wa Dedani, Tema, Buzi na watu wote wanaonyoa nywele zote za pembenipembeni ya kichwa;


Balamu akamutolea Balaki mashairi yake, akasema: Balaki amenileta hapa kutoka Aramu, hakika, mufalme wa Moabu amenileta kutoka milima ya mashariki: Kuja uwalaani watu wa Yakobo kwa ajili yangu, hakika, kuja uwakaripie Waisraeli!


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ