Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 22:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Nyuma ya mambo hayo Abrahamu akapata habari kwamba Milka vilevile amemuzalia ndugu yake Nahori watoto wanaume:

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 22:20
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Tera alipokuwa na umri wa miaka makumi saba, akazaa Abramu, Nahori, na Harani.


Hawa ndio wazao wa Tera, baba ya Abramu, Nahori na Harani. Harani alikuwa baba ya Loti.


Abramu na Nahori wakaoa. Muke wa Abramu aliitwa Sarai. Muke wa Nahori aliitwa Milka, binti ya Harani ambaye vilevile alikuwa baba ya Isika.


Nyuma ya mambo hayo, neno la Yawe lilimufikia Abramu katika maono kusema hivi: “Abramu! Usiogope! Mimi ni ngao yako. Zawadi yako itakuwa kubwa!”


Usi muzaliwa wa kwanza, Buzi ndugu yake, Kemweli baba ya Aramu,


Kisha, yule mutumishi akatwaa ngamia kumi wa bwana wake akaondoka akiwa na zawadi nzuri za kila aina. Akasafiri kwenda katika muji Nahori alimokaa, katika inchi ya Mesopotamia.


Mbele hajamaliza kuomba, mara moja Rebeka, binti ya Betueli mwana wa Milka, muke wa Nahori, ndugu ya Abrahamu, akafika akibeba mutungi wake kwenye bega.


Rebeka akajibu: “Mimi ni binti ya Betueli mwana wa Milka, muke wa Nahori.


Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Nahori, ataamua kati yetu.” Basi, Yakobo akaapa kwa Mungu ambaye ni kitisho cha baba yake Isaka.


Kama vile maji baridi kwa mwenye kiu, ndivyo habari njema kutoka mbali inavyokuwa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ