Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 21:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Isaka akaendelea kukomaa, na siku alipoachishwa kunyonya, Abrahamu akafanya karamu kubwa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 21:8
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Loti akawasihi sana, kwa mwisho wakakubali, wakageuka na kuingia katika nyumba yake. Loti akatayarisha karamu, akachoma mikate isiyotiwa chachu, wakakula.


Kisha akaongeza: “Ni nani angeweza kumwambia Abrahamu kwamba mimi Sara nitanyonyesha watoto? Tena nimemuzalia mutoto mwanaume katika uzee wake!”


Siku moja Sara akamwona Isimaeli, mutoto wa Abrahamu aliyezaliwa na Hagari Mumisri, akicheza na Isaka mwana wake.


Basi, Isaka akawafanyia karamu, nao wakakula na kunywa.


Basi, Labani akafanya karamu na kuwaalika watu wote wa kule.


Ilipotimia siku ya tatu, ambayo ilikuwa siku ya kufanya sikukuu ya kuzaliwa kwake, mufalme wa Misri akafanyia watumishi wake wote karamu. Akatoa katika kifungo mutunza vinywaji wake mukubwa na mupishi mukubwa wa mikate, akawaweka mbele ya wakubwa wake.


Abeneri alipomwendea Daudi, alikuwa na watu makumi mbili. Daudi aliwafanyia karamu.


Solomono alipoamuka, alitambua kwamba ilikuwa ndoto. Halafu akarudi Yerusalema, akasimama mbele ya Sanduku la Agano la Yawe, akamutolea sadaka za kuteketezwa na za amani. Halafu akawafanyia watumishi wake wote karamu.


Katika mwaka wa tatu wa utawala wake, mufalme Ahasuero akaandaa karamu kwa ajili ya viongozi na watumishi wake wa serikali, wakubwa wa majeshi ya Persia na Media, watu wenye heshima na wakubwa wa majimbo.


Lakini nafsi yangu imetulia na kuwa na amani, kama mutoto muchanga anavyotulia na mama yake; ndivyo nafsi yangu inavyokuwa na utulivu.


Gomeri alipomwachisha yule binti wake Asiyehurumiwa kunyonya, alipata mimba tena, akazaa mutoto mwingine mwanaume.


Baba yake akaenda katika nyumba ya yule binti, naye Samusoni akafanya karamu kule, kama vile vijana walivyofanya kwa wakati ule.


Samusoni akawaambia: “Nitatega kitendawili. Kama mukiweza kutegua kitendawili hicho kwa muda wa siku saba za sherehe za arusi, basi, nitawapa nguo makumi tatu za kitani na nguo makumi tatu za sikukuu.


Lakini mara hii Hana hakuenda, maana alimwambia mume wake hivi: “Mara tu mutoto atakapoachishwa kunyonya, nitamupeleka kusudi awekwe mbele ya Yawe, abakie kule siku zote.”


Alipomwachisha kunyonya alimupeleka pamoja na ngombe dume wa miaka mitatu, gunia la unga na karabia ya divai. Hana alimwingiza mutoto kwenye nyumba ya Yawe kule Shilo, naye mutoto alikuwa mudogo tu.


Abigaili aliporudi kwake, alimukuta Nabali akifanya karamu kubwa katika nyumba yake kama ya kifalme. Nabali alikuwa akifurahi sana ndani ya moyo maana alikuwa amelewa sana. Kwa hiyo hakumwambia neno lolote mpaka asubui.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ