Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 21:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

32 Hivyo, wakafanya agano kule Beri-Seba. Abimeleki na Fikoli, jemadari wa jeshi lake, akaondoka na kurudi katika inchi ya Wafilistini.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 21:32
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wapatirusi, Wakasiluhi (ambao ndio shina ya Wafilistini), na Wakafutorimu.


Mutu mumoja aliyeponyoka, akakwenda kumwarifu Abramu Mwebrania ambaye alikuwa anaishi karibu na mielo ya Mamure Mwamori. Mamure alikuwa ndugu ya Eskoli na Aneri. Wote walikuwa wamefanya agano na Abramu.


Basi, Abrahamu akatwaa kondoo na ngombe akamupa Abimeleki nao wawili wakafanya agano kati yao.


Kwa hiyo kisima hicho kikaitwa Beri-Seba, maana wote wawili walifanya kiapo pahali pale.


Abrahamu akapanda muti wa mukwaju kule Beri-Seba, akaomba kwa jina la Yawe, akamwabudu Mungu, Mungu wa milele.


Alikuwa na makundi ya kondoo, ngombe na watumwa wengi. Kwa hiyo, Wafilistini wakamwonea wivu.


Nyuma ya kukaa kule kwa muda murefu, Abimeleki mufalme wa Wafilistini akachungulia kwenye dirisha akamwona Isaka akimukumbatia muke wake Rebeka.


Basi, tufanye agano mimi nawe, likuwe ushuhuda kati yako nami.”


Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Nahori, ataamua kati yetu.” Basi, Yakobo akaapa kwa Mungu ambaye ni kitisho cha baba yake Isaka.


Wakati mufalme wa Misri alipowaachilia Waisraeli wajiendee, Mungu hakuwapitisha katika inchi ya Wafilistini, ingawa njia hiyo ilikuwa ya karibu. Mungu alisema: “Sipendi watu hawa wabadilishe nia na kurudi Misri wakijua kama itawapasa kupigana vita.”


Waisraeli walitenda tena uovu mbele ya Yawe, naye akawaacha watawaliwe na Wafilistini kwa miaka makumi ine.


Kwa sababu Yonatani alimupenda Daudi kama roho yake, alifanya agano naye.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ