29 Abimeleki akamwuliza Abrahamu: “Kwa nini unawatenga hao wana-kondoo dike saba?”
Abrahamu akatenga wana-kondoo dike saba.
Abrahamu akamujibu: “Hawa wana-kondoo dike saba ninakupa kwa mukono wangu mwenyewe kama ushuhuda wangu kwamba mimi ndiye niliyechimba kisima hiki.”
Halafu Esau akauliza: “Kundi lile nililokutana nalo katika njia lina maana gani?” Yakobo akamujibu: “Nilitumaini kupata kukubaliwa mbele yako, ee bwana wangu.”
Kila wakati watoto wenu watakapowauliza: ‘Jambo hili lina maana gani?’,
Samweli akamwambia: “Mbona ninasikia mulio wa kondoo na ngombe?”