Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 21:27 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

27 Basi, Abrahamu akatwaa kondoo na ngombe akamupa Abimeleki nao wawili wakafanya agano kati yao.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 21:27
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mutu mumoja aliyeponyoka, akakwenda kumwarifu Abramu Mwebrania ambaye alikuwa anaishi karibu na mielo ya Mamure Mwamori. Mamure alikuwa ndugu ya Eskoli na Aneri. Wote walikuwa wamefanya agano na Abramu.


Abimeleki akamwambia: “Mimi sijui nani aliyefanya hivyo. Mpaka leo hii wewe haukuniambia, wala mimi sijapata kusikia habari hizi mpaka leo.”


Basi, tufanye agano mimi nawe, likuwe ushuhuda kati yako nami.”


Kwa anayetoa kituliro ni kama hirizi; kila kitu anachofanya yeye anafanikiwa.


Zawadi inamufungulia mutu milango; inaweza kumufikisha mutu mbele ya mukubwa.


Warafiki wengi wanaweza kumwangusha mutu, lakini kuna rafiki mwaminifu kuliko ndugu.


Hasira inatulizwa kwa zawadi ya siri; kituliro kinachotolewa kwa uficho kinatuliza kasirani.


Lakini wenye heshima wanatenda mambo ya heshima, nao wanatetea mambo yenye heshima.


Kisha akachagua mutu mumoja wa jamaa ya kifalme, akafanya naye mapatano, akamwapisha kiapo cha uaminifu. Aliwaondoa wakubwa wengine katika inchi akawapeleka mbali


hawana zamiri, hawawezi kuaminiwa, hawana upendo wala huruma.


Wandugu, nitatumia mufano huu wa kawaida: mutu anapofanya agano kwa njia ya haki, hakuna mutu anayeweza kulivunja au kuongeza neno lingine juu yake.


Kwa sababu Yonatani alimupenda Daudi kama roho yake, alifanya agano naye.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ