Mwanzo 21:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200214 Hivyo, asubui mapema, Abrahamu akatwaa chakula na chupa la maji, akamupa Hagari na kumubebesha mutoto juu ya bega. Akamufukuza pamoja na mwana wake. Hagari akaondoka, akakuwa anatangatanga katika jangwa la Beri-Seba. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |