Mwanzo 20:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Basi, Mungu akamwambia katika hiyo ndoto: “Sawa. Ninajua kwamba umefanya hivyo kwa moyo safi. Mimi ndiye niliyekuzuia kutenda zambi mbele yangu. Ndiyo maana sikukuruhusu umuguse huyo mwanamuke. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |