Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 2:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Mungu akaibariki siku ya saba na kuitakasa, maana kwa siku hiyo Mungu alipumzika kisha kazi yake yote ya kuumba.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 2:3
22 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mungu akaona kwamba kila kitu alichofanya ni kizuri kabisa. Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya sita.


Kwa siku ya saba Mungu alikuwa amemaliza kazi yake yote aliyofanya. Kwa siku ile ya saba Mungu akapumzika kisha kazi yake yote aliyofanya.


Hivi ndivyo mbingu na dunia zilivyoumbwa. Siku ile Yawe Mungu alipoumba mbingu na dunia,


Kwa njia ya Musa, mutumishi wako, ukawajulisha siku zako za Sabato takatifu na ukawaagiza kuzifuata amri, masharti na sheria ulizowaamuru.


Kwa siku sita utafanya kazi zako, lakini siku ya saba utapumzika, kusudi ngombe wako na punda wako vilevile wapate kupumzika, na watoto wa mujakazi wako na wageni wapate kustarehe.


Siku sita mutafanya kazi, lakini siku ya saba mutapumzika, hata ikiwa ni wakati wa kulima au kuvuna.


Baraka za Yawe ndizo zinazoleta utajiri. Juhudi za mutu haziongezi kitu.


Niliwapa vilevile Sabato zangu zikuwe kitambulisho kati yangu na wao, wapate kujua kwamba mimi ni Yawe ninayewatakasa.


Kutakuwa siku sita za kufanya kazi. Lakini siku ya saba ni Sabato. Siku hiyo ni ya mapumziko, hamutafanya kazi na mutakuwa na mukutano mutakatifu. Siku hiyo ya saba hamutafanya kazi. Hiyo ni Sabato ambayo ni takatifu kwangu mimi Yawe katika makao yenu yote.


Yesu akaongeza kuwaambia: “Siku ya Sabato iliwekwa kwa ajili ya mafaa ya mutu, lakini mutu hakuumbwa kwa ajili ya siku ya Sabato.


Kisha wakarudia kwao kutengeneza mafuta na marasi ya kupakaa maiti. Siku ya Sabato wakapumzika kama Sheria ilivyoamuru.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ