Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 2:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Ndiyo maana mwanaume anamwacha baba yake na mama yake, na kuambatana na muke wake, nao wawili wanakuwa mwili mumoja.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 2:24
23 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lameki akaoa wanawake wawili, mumoja aliitwa Ada na mwingine Sila.


Wabinti za wafalme ni kati ya wanaokupokea, naye malkia amesimama kwa kuume kwako, amevaa mapambo ya zahabu safi kabisa ya Ofiri.


Muke mwema ni taji la utukufu kwa mume wake. Anayemupatisha mume wake haya ni kama kidonda ndani ya mifupa yake.


mwanamuke anayemwacha mwenzake wa ujana wake, na kusahau agano la Mungu wake.


Muke mwema atapatikana wapi? Bei yake ni kali kuliko ushanga!


Naye alipofika, akaona mambo yote yaliyotendeka kutokana na neema ya Mungu, akafurahi, naye akawatia wanafunzi wote moyo kusudi waendelee kushikamana na Bwana kwa moyo wao wote.


Kwa mufano, mwanamuke aliyeolewa anafungwa na Sheria katika maisha yake na mume wake wakati mume wake angali muzima. Lakini kama mume wake akikufa, yeye anakuwa huru kufuatana na Sheria ile iliyomufunga.


Mumwogope Yawe, Mungu wenu, mumutumikie, muambatane naye na kuapa kwa jina lake.


Lakini ninyi muliokuwa waaminifu kwa Yawe, Mungu wenu muko wazima mpaka leo.


Kwa sababu hiyo, ninataka wajane wanaokuwa wangali vijana waolewe, wazae watoto na kutunza nyumba zao, kusudi waadui wasipate nafasi ya kutuchongea.


Lakini muambatane na Yawe, Mungu wenu, kama mulivyofanya mpaka leo.


Tena Daudi alimwoa Ahinoamu wa Yezereheli. Hivyo hao wawili wakakuwa wake zake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ