Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 2:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Basi, Yawe Mungu akamuletea yule mwanaume usingizi muzito, na alipokuwa katika usingizi, akatwaa ubavu wake mumoja na kupafunika pahali pale kwa nyama.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 2:21
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Jua lilipokuwa likitua, Abramu akashikwa na usingizi muzito. Hofu na giza nene vikamufunika.


Mungu anaongea na watu katika ndoto na maono, wakati usingizi muzito unapowapata,


Ilikuwa usiku wakati watu wanapoota ndoto, wakati usingizi muzito unawashika watu.


Uvivu ni kama usingizi muzito; mutu muvivu atateseka kwa njaa.


Alipokuwa anazungumuza nami, mimi nikashikwa na usingizi muzito nikiwa nimelala uso mpaka chini. Lakini yeye akanishika na kunisimamisha.


Kwa maana mwanaume hakuumbwa kutoka katika mwanamuke, lakini mwanamuke aliumbwa kutoka katika mwanaume.


Kwa hiyo, Daudi alitwaa ule mukuki na mufuko wa maji karibu na kichwa cha Saulo nao wakajiendea zao. Lakini hakuna mutu aliyeona au kujua tukio hilo, wala hakuna aliyeamuka, maana Yawe aliwaletea usingizi muzito.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ