20 Basi, yule mwanaume akawapa majina nyama wote wa kufugwa, nyama wa pori na ndege wote wa anga. Lakini hakukupatikana musaidizi wa kumufaa.
Kisha Yawe Mungu akasema: “Si vizuri huyu mwanaume kuwa peke yake. Nitamufanyia musaidizi wa kumufaa.”
Basi, Yawe Mungu akamuletea yule mwanaume usingizi muzito, na alipokuwa katika usingizi, akatwaa ubavu wake mumoja na kupafunika pahali pale kwa nyama.
Ulimupa utawala juu ya vyote ulivyoviumba; uliweka viumbe vyote chini ya mamlaka yake: