Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 2:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Zahabu ya inchi hiyo ni safi kabisa. Kule vilevile kuna marasi ya bedola na mawe mazuri ya sohamu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 2:12
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Jina la muto wa kwanza ni Pisoni. Muto ule unazunguka inchi yote ya Havila ambako kuna zahabu.


Jina la muto wa pili ni Gihoni. Ule unazunguka inchi yote ya Kushi.


Haiwezi kupimwa kwa zahabu ya Ofiri, wala kwa mawe ya sardoniki au ya yakuti samawi.


mawe ya sardoniki, na mawe mengine kwa ajili ya mapambo ya kizibao cha kuhani na kifuko cha kifua.


na mustari wa ine utakuwa wa zabarajadi, shohamu na yaspi. Yote yatatiwa kwenye kingo za zahabu.


Mustari wa ine ulikuwa wa zabarajadi, shohamu na yaspi. Yote yalifungwa ndani ya kingo za zahabu.


Ulikaa Edeni, bustani ya Mungu. Ulipambwa kwa kila namna ya mawe ya bei kali, akiki, topazi, yaspi, zabarajadi, berili, sardoniki, yakuti samawi, almasi na zumaridi. Ulikuwa na mapambo ya zahabu. Yote uliwekewa tayari siku ulipoumbwa.


Mana ilikuwa kama mbegu ndogo zenye rangi ya kimanjano.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ