11 Jina la muto wa kwanza ni Pisoni. Muto ule unazunguka inchi yote ya Havila ambako kuna zahabu.
Ofiri, Havila na Yobabu. Hao wote walikuwa wana wa Yokitani.
Wana wa Kushi walikuwa Seba, Havila, Sabuta, Rama na Sabuteka. Wana wa Rama walikuwa Seba na Dedani.
Zahabu ya inchi hiyo ni safi kabisa. Kule vilevile kuna marasi ya bedola na mawe mazuri ya sohamu.
Jina la muto wa pili ni Gihoni. Ule unazunguka inchi yote ya Kushi.
Wazao wa Isimaeli walikaa katika eneo lililokuwa kati ya Havila na Shuri, upande wa mashariki wa Misri, kuelekea Ashuri. Walikaa kwa utengano na wazao wengine wa Abrahamu.
Ofiri, Havila na Yobabu. Hawa wote ni wana wa Yokitani.
Hakika kuna nafasi ya kuchimba feza, na pahali ambako zahabu inasafishwa.
Saulo aliwashinda Waamaleki kuanzia Havila mpaka Suri, kwa upande wa mashariki wa Misri.