Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 2:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Kulikuwa muto kule Edeni uliotiririka maji na kuinywesha ile bustani na kutoka kule muto ule uligawanyika kuwa mito mine.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 2:10
3 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Loti akainua macho yake, akaona bonde la muto Yordani, akaona kwamba lina maji ya kutosha kila pahali, kama vile bustani ya Yawe na kama vile inchi ya Misri upande wa Soari. (Hii ilikuwa mbele Yawe hajaiangamiza miji ya Sodoma na Gomora).


hata kama bahari ikichafuka na kutisha, na milima ikitetemeka kwa machafuko yake.


Kisha yule malaika akanionyesha muto wa maji ya uzima wenye kungaa kama kioo, uliokuwa ukitiririka toka kwenye kiti cha kifalme cha Mungu na cha Mwana-Kondoo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ