Mwanzo 19:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Angalia, nina wabinti wawili ambao bado hawajalala na mwanaume. Muniruhusu niwape hao wabinti muwatendee kama vile munavyopenda. Lakini musiwatendee lolote wanaume hawa kwa sababu ni wageni wangu.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |