6 Loti akatoka inje, akafunga mulango nyuma yake,
Wakamwita Loti na kumwuliza: “Wako wapi wale wanaume waliokuja kwako? Uwatoshe inje. Tunataka kulala nao.”
akawaambia: “Wandugu zangu, ninawasihi musitende uovu ule.
Lakini yule muzee mwenye nyumba akatoka inje, akawaambia: “Sivyo wandugu zangu. Ninawasihi musitende uovu ule. Huyu ni mugeni wangu. Musimutendee ubaya ule.