Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 19:36 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

36 Hivyo, wabinti wote wawili za Loti wakapata mimba kutokana na baba yao.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 19:36
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ole wako unayewalewesha jirani zako, na kutia sumu katika divai yao kusudi upate kuwaona wakiikaa uchi.


Kwa maana mutahukumiwa kufuatana na namna munavyowahukumu wengine, na kipimo kile munachowapimia wengine ndicho kitakachotumiwa kwenu vilevile.


Samweli akasema: “Kwa sababu upanga wako umewafanya wamama wengi wasikuwe na watoto, ndivyo na mama yako atakavyokuwa bila mutoto kati ya wamama.” Akamukatakata Agagi vipandevipande mbele ya Yawe kule Gilgali.


Adoni-Bezeki akasema: “Wafalme makumi saba waliokatwa vidole gumba vya mikono na miguu waliokota makombo chini ya meza yangu. Sasa Mungu amenilipa kama nilivyotenda.” Wakamupeleka Yerusalema, akakufia kule.


Angalia, nina wabinti wawili ambao bado hawajalala na mwanaume. Muniruhusu niwape hao wabinti muwatendee kama vile munavyopenda. Lakini musiwatendee lolote wanaume hawa kwa sababu ni wageni wangu.”


Basi, usiku ule vilevile wakamulewesha baba yao kwa divai, kisha yule binti mudogo akakwenda akalala naye. Lakini baba yake hakujua wakati binti yake alipolala naye, wala wakati alipoondoka.


Yule binti wa kwanza akazaa mutoto mwanaume, akamwita Moabu. Huyo ndiye baba wa Wamoabu mpaka leo.


Yawe akaniambia: ‘Usiwasumbue watu wa Moabu, wala usipigane nao maana sitawapa sehemu yoyote ya inchi yao. Lakini eneo hilo la Ari nimewapa hao wazao wa Loti likuwe mali yao.’


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ