Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 19:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

32 Basi, tumuleweshe baba kwa divai, kusudi tupate kulala naye na kudumisha uzao kwa kupata watoto kwa njia yake.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 19:32
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha wakaambiana: “Tufanye matofali, tuyachome kwa moto vizuri.” Walikuwa na matofali pahali pa mawe, na kabulimbo pahali pa chokaa.


Usiku ule wakamulewesha baba yao kwa divai. Yule binti wa kwanza akakwenda akalala naye. Lakini baba yake hakujua wakati binti yake alipolala naye, wala wakati alipoondoka.


Akakunywa divai, akalewa, kisha akalala uchi ndani ya hema yake.


“Mwalimu, Musa alituamuru: ‘Mutu akiwa na ndugu yake, naye akikufa na kuacha muke wake bila mutoto, yule ndugu yake anapaswa kumwoa yule mujane na kumuzalia ndugu yake marehemu watoto.’


“Mujilinde vizuri, kusudi musilemewe na kutafuta kula ulafi, kulewa na kusumbukia maisha. Kama si vile, Siku ile ya kurudia kwa Kristo itawafikia kwa rafla


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ