27 Asubui mapema, Abrahamu alikwenda pahali alipokuwa akisimama mbele ya Yawe.
Akiwa pale, akatazama chini pande za Sodoma na Gomora na eneo lote la bonde, akashangaa kuona moshi ukipanda, moshi kama wa furu kubwa.
Usikilize kilio changu, Mufalme wangu na Mungu wangu, maana wewe ndiwe ninayekuomba.
Mimi nitasimama pahali pa kuchungulia, na kuikaa juu katika munara; nitakaa macho wazi nipate kuona ataniambia nini, atajibu nini juu ya malalamiko yangu.
Kwa sababu hiyo, tunapaswa kushikamana zaidi na habari tuliyosikia, kusudi tusipotee mbali.