Mwanzo 19:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
20 Tafazali, kule kuna muji mudogo ambao ninaweza kukimbilia maana uko karibu. Basi, uniruhusu nikimbilie kule. Ule ni muji mudogo tu, na kule nitaponyoka.”
Ni kweli kwamba mimi mutumishi wako nimepata kukubaliwa mbele yako, nawe umenitendea mema sana kwa kuokoa maisha yangu. Lakini kwenye milima ni mbali sana. Maangamizi haya yatanikuta mbele sijafika kule, nami nitakufa.
Loti aliogopa kuishi katika muji wa Soari, kwa hiyo akahama toka muji ule, yeye pamoja na wabinti zake wawili, wakakwenda kuishi ndani ya pango kwenye milima.
Yeremia akamujibu: Hautatolewa kwao. Wewe sasa utii kile Yawe anachosema, kama ninavyokuambia, na mambo yote yatakuendekea vema, na maisha yako yataokolewa.