Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 18:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

30 Abrahamu akaongeza kusema: “Ee Bwana, ninaomba usinikasirikie, nami nitasema tena. Labda kutapatikana watu wema makumi tatu.” Yawe akamujibu: “Sitafanya hivyo nikiwakuta hao makumi tatu.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 18:30
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Abrahamu akaongeza kusema: “Pengine watu makumi ine watapatikana mule.” Yawe akamujibu: “Kwa ajili ya watu wema makumi ine, sitafanya hivyo.”


Abrahamu akasema: “Nimesubutu kuzungumuza na Bwana. Labda kutapatikana watu wema makumi mbili.” Yawe akamujibu: “Kwa ajili ya hao makumi mbili, sitauangamiza.”


Halafu Yuda akamukaribia Yosefu na kumwambia: “Bwana, ninakuomba uniruhusu mimi mutumishi wako, nijitetee mbele yako kwa maneno machache. Ninakusihi usinikasirikie, maana wewe ni kama mufalme wa Misri mwenyewe.


Mimi sifai kitu. Nitakujibu nini? Ninafunga kinywa changu.


Ee Yawe, unapokea maombi ya muzaifu; unamutia moyo na kumutegea sikio.


Nani katika mbingu anayeweza kulinganishwa nawe, ee Yawe? Nani anayekuwa sawa nawe kati ya miungu?


Mumwimbie sifa Yawe anayekaa Sayuni! Muyatangazie mataifa mambo aliyotenda!


Basi, mimi nikasema: Ole kwangu! Mimi nimeangamia, maana, midomo yangu ni michafu, na watu ninaoishi nao ni wenye midomo michafu. Hata hivyo, kwa macho yangu mwenyewe, nimemwona Mufalme, Yawe wa majeshi.


Gideoni akamwambia Mungu: “Tafazali, usinikasirikie. Ninakuomba niseme mara moja tena. Ninakuomba uniruhusu nitumie ngozi hii kwa kufanya jaribio lingine. Ninakuomba juu ya ngozi kukuwe kukavu, lakini kwenye udongo kukuwe umande.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ