Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 18:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 na kusema: “Bwana wangu, nikipata kukubaliwa mbele yako, tafazali usinipite mimi mutumishi wako lakini ushinde kwangu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 18:3
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Alipoinua macho yake, akaona watu watatu wakisimama mbali kidogo mbele yake. Mara tu alipowaona, akakimbia kutoka kwenye mulango wa hema yake, akakwenda kuwapokea. Alipowafikia akainama kwa heshima


Mutaletewa maji kidogo kusudi munawe miguu na kupumzika chini ya muti.


Labani akamwambia: “Karibu kwetu wewe uliyebarikiwa na Yawe. Mbona unasimama inje? Mimi mwenyewe nimekwisha tayarisha nyumba na pahali kwa ajili ya hawa ngamia wako!”


Akawapa maagizo haya: “Mutamwambia bwana wangu Esau hivi: Mutumishi wako Yakobo anasema hivi: ‘Nimekaa mugeni kwa Labani mpaka sasa.


Basi, Yosefu akapata kukubaliwa mbele ya Potifari, hata akakuwa mutumishi wake wa pekee. Akamufanya musimamizi wa nyumba yake na mwangalizi wa mali yake yote.


Ninakuomba usiondoke hapa mpaka nitakaporudi na kukuletea zawadi yangu na kuiweka mbele yako.” Naye akamujibu: “Nitakaa hapa mpaka utakaporudi.”


Gideoni akaenda kwake, akatayarisha mwana-mbuzi na mikate isiyotiwa chachu kutoka debe la unga. Akatia nyama ndani ya kikapu na muchuzi ndani ya chungu, kisha akamupelekea chini ya muti wa mwalo, akamupa.


Malaika wa Mungu akamwambia: “Twaa nyama na mikate isiyotiwa chachu uviweke juu ya jiwe hili. Halafu tia muchuzi juu ya mikate na nyama.” Naye akafanya hivyo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ