Labda kutapatikana watu wa haki makumi ine na watano pahali pa makumi tano. Utaangamiza muji muzima kwa sababu kumepunguka watu watano?” Yawe akamujibu: “Sitaangamiza muji ikiwa kuna watu wema makumi ine na watano.”
Kwa sababu hii, tujongelee kwa uhodari kiti cha kifalme cha Mungu pahali anapowajalia watu neema kusudi apate kutuhurumia na kutujalia neema ya kutusaidia kwa wakati unaofaa.