Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 18:28 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

28 Labda kutapatikana watu wa haki makumi ine na watano pahali pa makumi tano. Utaangamiza muji muzima kwa sababu kumepunguka watu watano?” Yawe akamujibu: “Sitaangamiza muji ikiwa kuna watu wema makumi ine na watano.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 18:28
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yawe akamwambia: “Nikikuta watu wa haki makumi tano kule katika muji wa Sodoma, basi nitaacha muji wote salama kwa ajili yao.”


Abrahamu akasema: “Nimesubutu kuzungumuza na Bwana, mimi ninayekuwa mavumbi na majivu tu.


Abrahamu akaongeza kusema: “Pengine watu makumi ine watapatikana mule.” Yawe akamujibu: “Kwa ajili ya watu wema makumi ine, sitafanya hivyo.”


Aliwaambia wamwombe Mungu wa mbinguni awaonee huruma juu ya fumbo hilo, kusudi wao wasiangamie pamoja na wenye hekima wengine wa Babeli.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ