Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 18:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Labda kuna watu wa haki makumi tano katika muji. Utauangamiza muji muzima kuliko kuuacha kwa sababu ya wale wa haki makumi tano wanaokuwa mule?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 18:24
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, Abrahamu akamukaribia Yawe, akamwuliza: “Ni kweli utawaangamiza watu wa haki pamoja na waovu?


Sizani kama utafanya hivyo, kuwaua watu wa haki pamoja na waovu, kutendea watu wa haki sawa na waovu. Hapana, haiwezekani! Mwamuzi wa dunia yote hataacha kutenda mambo yanayokuwa sawa!”


Kisha Abrahamu akasema: “Ee Bwana, ninakuomba usikasirike, lakini nitasema tena mara moja tu. Labda kutapatikana watu wema kumi.” Yawe akamujibu: “Kwa ajili ya hao watu wema kumi, sitaangamiza muji ule.”


Uovu wako utamuzuru mwanadamu kama wewe, haki yako itamufalia mwanadamu mwenzako.


Yawe wa majeshi asingetuachia watu wachache, tungekwisha kuwa kama watu wa Sodoma tungekuwa na hali ileile ya Gomora.


Mukimbie huko na huko katika Yerusalema, mupeleleze na kujionea wenyewe, muchunguze katika masoko yake. Mukiona hata mutu mumoja anayefuata sheria, mutu anayetafuta ukweli, basi Yawe atausamehe Yerusalema.


na kuniambia: ‘Paulo, usiogope! Sherti usambe mbele ya Mufalme wa Roma. Na tena kwa kuwa inamupendeza Mungu kukutendea mema, yeye ataokoa maisha ya watu hawa wote wanaosafiri pamoja nawe.’


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ