26 Abrahamu na mwana wake Isimaeli
Kwa hiyo, Abramu akaondoka kama vile Yawe alivyomwamuru, na Loti akakwenda pamoja naye. Abramu alikuwa na umri wa miaka makumi saba na mitano alipotoka Harani.
Na Isimaeli mwana wake alikuwa na umri wa miaka kumi na mitatu alipotahiriwa.
pamoja na wanaume wote wa nyumba yake, watumwa wote waliozaliwa katika nyumba yake na wote walionunuliwa kwa feza zake walitahiriwa siku hiyohiyo.
Bila kukawia ninafanya haraka kushika amri zako.