Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 17:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Abrahamu alikuwa na umri wa miaka makumi tisa na tisa alipotahiriwa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 17:24
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa hiyo, Abramu akaondoka kama vile Yawe alivyomwamuru, na Loti akakwenda pamoja naye. Abramu alikuwa na umri wa miaka makumi saba na mitano alipotoka Harani.


Wakati Abramu alipokuwa na umri wa miaka makumi tisa na tisa, Yawe akamutokea, akamwambia: “Mimi ni Mungu Mwenye Uwezo. Uendelee mbele yangu na kuwa mukamilifu.


Mutatahiriwa kwa kukata magovi yenu na hiki kitakuwa ndicho kitambulisho cha agano kati yangu nanyi.


Hapo Abrahamu akainama uso mpaka chini, akacheka ndani ya moyo wake akiwaza: “Itawezekana kweli mutoto kuzaliwa kwa muzee wa miaka mia moja? Na namna gani, Sara ambaye umri wake ni miaka makumi tisa, ataweza kupata mutoto?”


Abrahamu na Sara walikuwa wazee sana, naye Sara hangeweza tena kuzaa.


Abrahamu alikuwa na umri wa miaka mia moja wakati mwana wake Isaka alipozaliwa.


Nyuma ya pale alitahiriwa, na kutahiriwa kwake kulikuwa kitambulisho cha kuhakikisha ile haki Mungu aliyomuhesabia kwa njia ya imani yake. Hivi Abrahamu akakuwa baba wa watu wote wanaoamini, ijapokuwa hawatahiriwi, kusudi wao vilevile wahesabiwe haki.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ