Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 16:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Basi, Hagari akamupa Yawe aliyezungumuza naye kule jina la “Wewe ni Mungu Anayeona,” kwa maana alifikiri: “Kweli hapa nimemwona yeye anayeniona?”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 16:13
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Malaika wa Yawe akamukuta Hagari kwenye chemichemi ya maji katika jangwa, chemichemi iliyokuwa katika njia kuelekea Suri.


Kwa hiyo, Abrahamu akapaita pahali pale: “Yawe anajalia,” kama inavyosemwa hata leo: “Kwa mulima wa Yawe, watu wanajaliwa.”


Yakobo akaogopa na kusema: “Pahali hapa panatisha sana! Bila shaka hapa ni nyumba ya Mungu na mulango wa mbinguni.”


Kama Mungu wa babu yangu Abrahamu, Mungu ambaye ni kitisho cha Isaka, asingelikuwa upande wangu, hakika ungeliniacha niondoke mikono mitupu. Lakini Mungu aliona mateso yangu na kazi niliyofanya kwa mikono yangu, akakukaripia usiku wa kuamukia leo.”


Halafu Yakobo akamwambia: “Tafazali, ninakuomba uniambie jina lako.” Lakini yeye akamwambia: “Kwa nini kuniuliza jina langu?” Kisha akamubariki Yakobo.


Yakobo akaita pahali pale Penueli, akisema: “Nimemwona Mungu uso kwa uso, nami sikukufa.”


Na Mungu hakuwazuru wale viongozi wa watu wa Israeli. Walimwona Mungu, wakakula na kunywa.


Macho ya Yawe yanaona kila kitu, yanachunguza kibaya na kizuri.


Maana mwenendo wa kila mutu ni wazi mbele ya Yawe; yeye anachunguza njia zake zote.


Gideoni akamujengea Yawe mazabahu kule na kuyaita, “Yawe ni Amani.” Mazabahu hiyo iko kule Ofura, muji wa Waabiezeri, mpaka leo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ