Lakini Mungu akamwambia Abrahamu: “Usihuzunike kwa sababu ya mutoto huyu, wala huyo mujakazi wako. Jambo lolote Sara atakalokuambia ulifanye. Maana ni kwa njia ya Isaka utapata wazao watakaoitwa wako.
Hata Elizabeti wa jamaa yako, amepata mimba, naye atazaa mutoto mwanaume, ijapokuwa yeye ni muzee. Yeye aliyekuwa akiitwa tasa, sasa huu ni mwezi wa sita wa mimba yake.
Maneno haya ni kama vile mufano: wake hawa wawili ni mufano wa maagano mawili. Yule Hagari, watoto wake waliozaliwa katika hali ya utumwa, ni mufano wa agano lililofanyika kwenye mulima Sinai.