Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 15:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Jua lilipokuwa likitua, Abramu akashikwa na usingizi muzito. Hofu na giza nene vikamufunika.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 15:12
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Na tai waliposhuka juu ya mizoga hiyo, Abramu akakuwa anawafukuza.


Basi, Yawe Mungu akamuletea yule mwanaume usingizi muzito, na alipokuwa katika usingizi, akatwaa ubavu wake mumoja na kupafunika pahali pale kwa nyama.


Alipofika pahali fulani, akalala pale kwa sababu jua lilikuwa limetua. Akatwaa jiwe moja la pahali pale, akaliweka chini ya kichwa chake, akalala.


Mungu anaongea na watu katika ndoto na maono, wakati usingizi muzito unapowapata,


Kijana mumoja, aliyeitwa Eutiko, alikuwa akiikaa kwenye dirisha. Na kwa muda ule murefu Paulo alipofundisha, Eutiko akaanza kusinziasinzia na kwa mwisho akawezwa na usingizi na akaanguka chini toka kwenye gorofi ya tatu. Walipomunyanyua alikuwa amekwisha kufa.


Kwa hiyo, Daudi alitwaa ule mukuki na mufuko wa maji karibu na kichwa cha Saulo nao wakajiendea zao. Lakini hakuna mutu aliyeona au kujua tukio hilo, wala hakuna aliyeamuka, maana Yawe aliwaletea usingizi muzito.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ