Uwaambie kwamba Bwana wetu Yawe anasema hivi: Kulikuwa tai mumoja mukubwa sana aliyekuwa na mabawa makubwa, yenye manyoya marefu mengi yenye rangi za kila aina. Tai yule aliruka mpaka kwenye mulima Lebanoni, akatua juu ya kilele cha muti wa mwerezi;
Lakini kulikuwa tai mwingine mukubwa; alikuwa na mabawa makubwa ya manyoya mengi. Basi, ule muzabibu ulikunja mizizi yake, ukamwelekezea matawi yake, kusudi aumwangilie maji.