Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 14:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Halafu mufalme wa Sodoma, mufalme wa Gomora, mufalme wa Adima, mufalme wa Seboimu na mufalme wa Bela

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 14:8
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

hata eneo la inchi yao likakuwa toka Sidona kuelekea upande wa kusini, kuendelea Gerari mpaka Gaza, na kuelekea upande wa mashariki liliendelea kwa Sodoma na Gomora, Adima na Seboimu mpaka Lasa.


Loti akainua macho yake, akaona bonde la muto Yordani, akaona kwamba lina maji ya kutosha kila pahali, kama vile bustani ya Yawe na kama vile inchi ya Misri upande wa Soari. (Hii ilikuwa mbele Yawe hajaiangamiza miji ya Sodoma na Gomora).


Bonde la Sidimu lilikuwa limejaa mashimo ya kabulimbo; kwa hiyo wafalme wa Sodoma na Gomora walipokuwa wakikimbia vita, wakatumbukia mule, lakini wengine wakatorokea kwenye mulima.


ni kusema Soari, wakaingia katika vita katika bonde la Sidimu kupigana na Kedorilaomeri mufalme wa Elamu, Tidali mufalme wa Goimu, Amurafeli mufalme wa Sinari na Arioki mufalme wa Elasari: wafalme wane kupigana na wafalme watano.


Tafazali, kule kuna muji mudogo ambao ninaweza kukimbilia maana uko karibu. Basi, uniruhusu nikimbilie kule. Ule ni muji mudogo tu, na kule nitaponyoka.”


Harakisha! Kimbilia kule, nami sitafanya lolote mpaka utakapofika kule.” Hivyo muji ule ukaitwa Soari.


Ewe Efuraimu, ninaweza kukuacha namna gani? Ninaweza kukutupilia, ewe Israeli namna gani? Nitaweza namna gani kukufanya kama muji wa Adama? Nitaweza namna gani kukutendea kama Zeboimu! Ninazuizwa na moyo wangu; huruma yangu imezidi kuwa motomoto.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ