Mwanzo 14:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200213 Mutu mumoja aliyeponyoka, akakwenda kumwarifu Abramu Mwebrania ambaye alikuwa anaishi karibu na mielo ya Mamure Mwamori. Mamure alikuwa ndugu ya Eskoli na Aneri. Wote walikuwa wamefanya agano na Abramu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |