Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 13:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 pahali ambapo alikuwa amejenga mazabahu. Pale Abramu akamwomba Yawe kwa jina lake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 13:4
21 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa hiyo, Abramu akaongoa hema, akakwenda kukaa karibu na mielo ya Mamure kule Hebroni. Kule akajengea Yawe mazabahu.


Kwa hiyo, Isaka akajenga mazabahu kule na kumwabudu Yawe. Akapiga kambi kule, na watumishi wake wakachimba kisima.


Seti naye akapata mutoto mwanaume, akamwita Enosi. Hapo ndipo watu walipoanza kumwomba Yawe kwa jina lake.


Mumushukuru Yawe kwa sababu ni muzuri! Wema wake unadumu milele!


Mumushukuru Yawe kwa wema wake na maajabu yake kwa wanadamu.


Mumushukuru Yawe kwa wema wake na maajabu yake kwa wanadamu.


Nitakutolea sadaka za shukrani. Nitaomba kwa jina la Yawe.


Yeye amenitegea sikio, hivyo nitamwomba muda wote wa maisha yangu.


Yawe yuko karibu na wote wanaomwomba, wote wale wanaomwomba kwa uaminifu.


Ee Yawe, ninapenda makao yako, pahali utukufu wako unapokaa.


Ee Mungu, umwangalie huyo ngao yetu, upendezwe na huyo uliyemuchagua.


Halafu mutaomba, nami Yawe nitawaitikia; mutalia kwa sauti kwa kuomba musaada, nami nitajibu hivi: Niko hapa! Kama mukiondoa mambo ya kitumwa, mukiacha kuzarau wengine na kusema maovu,


Kwa hiyo mutakapokuja kunililia na kuniomba, nitawasikiliza.


Wakati huo nitabadilisha luga ya watu, nitawawezesha kusema luga safi kusudi waniite mimi Yawe, na kuniabudu kwa moyo mumoja.


Tunawaandikia ninyi kanisa la Mungu linalokuwa Korinto, ninyi ambao mumetakaswa kwa njia ya kuungana kwenu na Yesu Kristo na mumeitwa na Mungu kuwa watu wake. Vilevile barua hii ni kwa wote wanaoabudu jina la Bwana Yesu Kristo fasi zote, anayekuwa Bwana wao na Bwana wetu vilevile.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ