Mwanzo 12:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Kisha Abramu akaondoka, akaelekea kwenye mulima upande wa mashariki ya Beteli akapiga hema kati ya muji wa Beteli, upande wa magaribi, na muji wa Ai upande wa mashariki. Pale vilevile akamujengea Yawe mazabahu na kumwomba kwa jina lake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |