20 Kisha mufalme yule akawaamuru watu wake wasindikize Abramu katika njia akikuwa na muke wake na mali yake yote.
Kwa nini ulisema ni dada yako hata nikamutwaa kuwa muke wangu? Basi, sasa muke wako ule. Umutwae, ujiendee!”
Abramu akarudi kutoka Misri, akaingia upande wa Negebu. Alikuwa na muke wake na mali yake yote pamoja na Loti.
Kisha kufanya hivyo, Musa na baba mukwe wake wakaagana, naye Yetro akarudi katika inchi yake.
Moyo wa mufalme ni kama maji yanayotiririka; Yawe anauongoza popote anapopenda.