19 Kwa nini ulisema ni dada yako hata nikamutwaa kuwa muke wangu? Basi, sasa muke wako ule. Umutwae, ujiendee!”
Mufalme akamwita Abramu, akamwuliza: “Ni kitu gani hiki ulichonitendea? Mbona haukunijulisha kwamba Sarai ni muke wako?
Kisha mufalme yule akawaamuru watu wake wasindikize Abramu katika njia akikuwa na muke wake na mali yake yote.
Abimeleki akamurudishia Abrahamu muke wake Sara, akamupa kondoo, ngombe na watumwa na wajakazi.
Kwenda ukule chakula chako kwa furaha, na ukunywe divai yako kwa moyo wenye kuchangamuka, maana Mungu amekwisha kukubali kazi yako.