Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 11:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Basi, tushuke chini na kuvuruga luga yao kusudi wasielewane wao kwa wao.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 11:7
20 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha Mungu akasema: “Tumufanye mutu kwa mufano wetu, anayefanana nasi, atawale samaki wa bahari, ndege wa anga, nyama wa kufugwa, dunia yote na viumbe vyote vinavyotambaa.”


Hao ndio wazao wa Hamu kufuatana na makabila yao, luga zao, inchi zao na mataifa yao.


Hao ndio jamaa za wana wa Noa, kufuatana na vizazi vyao na mataifa yao. Kutokana nao, mataifa yote yalienea katika dunia nyuma ya mafuriko ya maji.


Kutokana na hawa visanga vya watu wa mataifa mengine vikagawanywa kwa inchi zao, kila watu kwa luga yao, kwa jamaa zao, kufuatana na mataifa yao.


Halafu Yawe akashuka chini kuona muji ule na munara ambayo wanadamu walijenga.


Kisha Yawe Mungu akasema: “Sasa, mwanadamu amekuwa kama mumoja wetu, anajua mazuri na mabaya. Inafaa kumuzuia kula lile tunda la muti wa uzima, maana akilikula ataishi milele.”


Wao hawakujua kwamba Yosefu alielewa yote yale waliyosema, maana alipoongea nao ilikuwa kwa njia ya mutafsiri.


Ananyanganya washauri zawadi yao ya kusema, anaondolea wazee ufahamu wao.


Yule anayetawala juu mbinguni anawachekelea na kuwazarau.


Yawe anavunja mipango ya mataifa, na anabadilisha mawazo yao.


ningekimbilia pahali penye usalama, mbali na upepo mukali na zoruba.”


Halafu Yawe akamwuliza: “Ni nani aliyeumba kinywa cha mutu? Ni nani anayemufanya mutu kuwa bubu au kiziwi? Aone au akuwe kipofu? Si mimi Yawe?


Hamutawaona tena watu wale wenye kiburi, wanaozungumuza luga isiyoeleweka.


Kisha nikamusikia Yawe akisema: Nimutume nani? Ni nani atakayekuwa mujumbe wetu? Nami nikajibu: Niko hapa! Unitume mimi.


Na kwa ngambo yenu ninyi watu wa Israeli, ninaleta taifa moja kutoka mbali kuwashambulia. –Ni ujumbe wa Yawe.– Hili taifa haliwezi kushindwa, ni taifa la zamani, ni taifa ambalo hamufahamu luga yake. Hamuwezi kuelewa hata neno wanalolisema.


Basi kama kanisa zima limekusanyika, na watu wote wanaanza kusema kwa luga za ajabu; na kisha watu wasioelewa kitu au wasioamini wakiingia katika mukutano wenu hawatasema kuwa ninyi ni wenda-wazimu?


“Yawe ataleta kutoka mbali taifa moja liwashambulie mbio kama tai, taifa ambalo hamujui luga yake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ