25 Kisha kuzaa Tera, Nahori aliishi miaka mia moja kumi na tisa, na kupata wana wengine na wabinti.
Nahori alipokuwa na umri wa miaka makumi mbili na tisa, akazaa Tera.
Tera alipokuwa na umri wa miaka makumi saba, akazaa Abramu, Nahori, na Harani.
Uniapie kwamba utakwenda mpaka katika inchi yangu, kwa jamaa zangu, umutafutie mwana wangu Isaka muke.”
Uuambie kwamba Bwana wake Yawe anauambia hivi: Kwa asili wewe ulizaliwa katika inchi ya Kanana. Baba yako alikuwa Mwamori, na mama yako alikuwa Muhiti.