20 Reu alipokuwa na umri wa miaka makumi tatu na miwili, akazaa Serugi.
Kisha kuzaa Reu, Pelegi aliishi miaka mia mbili na tisa, na kupata wana wengine na wabinti.
Kisha kuzaa Serugi, Reu aliishi miaka mia mbili na saba, na kupata wana wengine na wabinti.
Basi, wakati wa saa sita za muchana, Beni-Hadadi na wale wafalme wenzake makumi tatu na wawili waliomwunga mukono walipokuwa katika mahema yao wakikunywa na kulewa, mashambulizi yakaanza.
Watu walikuwa elfu kumi na sita, na katika hao sehemu ya Yawe ilikuwa ni watu makumi tatu na wawili.