18 Pelegi alipokuwa na umri wa miaka makumi tatu, akazaa Reu.
Kisha kuzaa Pelegi, Eberi aliishi miaka mia ine na makumi tatu, na kupata wana wengine na wabinti.
Kisha kuzaa Reu, Pelegi aliishi miaka mia mbili na tisa, na kupata wana wengine na wabinti.