14 Sela alipokuwa na umri wa miaka makumi tatu, alizaa Eberi.
Nyuma ya kuzaa Sela, Aripakisadi aliishi miaka mia ine na mitatu, na kupata wana wengine na wabinti.
Kisha kuzaa Eberi, Sela aliishi miaka mia ine na mitatu, na kupata wana wengine na wabinti.