Yawe akasema: “Watu hawa ni taifa moja na wote wana luga moja; huu ni mwanzo tu wa yale watakayofanya. Jambo lolote wanalokusudia kufanya watafanikiwa.
Siku hiyo luga ya Kiebrania itatumika katika miji mitano ya Misri, na watu wa miji hiyo wataapa kuwa waaminifu kwa Yawe wa majeshi. Muji mumoja kati ya miji hiyo utaitwa “Muji wa Jua”.
Wakati waliposikia ile fujo, wakakusanyika kwa uwingi. Wote wakapigwa na mushangao, kwa sababu kila mumoja wao aliwasikia waamini wakisema katika luga yake ya kuzaliwa.