Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 10:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

32 Hao ndio jamaa za wana wa Noa, kufuatana na vizazi vyao na mataifa yao. Kutokana nao, mataifa yote yalienea katika dunia nyuma ya mafuriko ya maji.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 10:32
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nyuma ya mafuriko ya maji, Semu, Hamu na Yafeti, wana wa Noa, walipata watoto wanaume na wanawake. Hawa ndio wazao wao:


Hao ndio wazao wa Hamu kufuatana na makabila yao, luga zao, inchi zao na mataifa yao.


Eberi alikuwa na wana wawili: wa kwanza akamwita Pelegi kwa sababu wakati ule watu katika dunia waligawanyika na wa pili akamwita Yokitani.


Hao ndio wazao wa Semu, kufuatana na makabila yao, luga zao, inchi zao na mataifa yao.


Kutokana na hawa visanga vya watu wa mataifa mengine vikagawanywa kwa inchi zao, kila watu kwa luga yao, kwa jamaa zao, kufuatana na mataifa yao.


Watu wote katika dunia walikuwa na luga moja, walitumia maneno mamoja.


Mungu akamubariki Noa na wana wake, akiwaambia: “Muzae, muongezeke, mujaze inchi.


Hao ndio wana watatu wa Noa na kutokana nao watu walienea katika dunia yote.


Nanyi muzae, mwongezeke, muzae kwa wingi, mwongezeke katika inchi.”


ambao Mungu aliwapa hiyo inchi peke yao, wala hakuna mugeni aliyepita kati yao.


Kutokana na mutu mumoja, yeye aliumba watu wa mataifa yote kusudi waishi katika dunia yote. Aliwapangia nyakati na kukata mipaka ya inchi wanayopaswa kukaa ndani yake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ